DUA YA KUJILINDA NA DAJJAL


 DAJJAL


 

[ من حفظ عشر آيات من أول سورة الكهف عصم من الدجال ]

مسلم 1/555

Amesema Mtume :

[Yoyote anaehifadhi kwa moyo aya kumi za mwanzo wa Suratul-Kahf atakuwa na kinga ya kujiepusha na Dajjal.]        [Imepokewa na Muslim.]

Pia ni katika Sunnah kujilinda na Mwenyezi Mungu  kutokana na fitna ya Dajjal baada ya tashahhud ya mwisho katika kila swala.


comments