UTAJO UNAOSOMWA KATIKA KIKAO


 dua ya kikao


Imepokelewa kutoka kwa Ibn Omar amesema : "Alikuwa akihisabiwa Mtume kusoma kwake dua hii katika kikao kimoja ikifika idadi ya mara mia kabla hajasimama"

 

[ رَبِّ اغْفِـرْ لي، وَتُبْ عَلَـيَّ، إِنَّكَ أَنْـتَ التَّـوّابُ الغَـفُورُ ] 

 

[Mwenyezi Mungu nisamehe na nikubalie toba yangu, hakika Wewe ni mwingi wa kukubali toba, mwingi wa kusamehe]      [Imepokewa na Al-Ttirmidhiy.]


UTAJO UNAOSOMWA KATIKA KIKAO


 


comments