Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi


Suala: Ni Maana ya nguzo.?

Jawabu: Nguzo ya kitu ni ile sehemu ya msingi ya kitu hicho kama vile kuta, na msingi katika nyumba.

Kwa hivyo nguzo za Swala ni zile ambazo Swala haikamiliki wala haisihi ila kwa kupatikana nguzo hizo.

Na Mtu akiacha nguzo moja ya swala kwa kukusudia basi Swala yake itabatika haitasihi,na ikiwa ameacha kwa kusahau basi itamlazimu ailete ile Nguzo kisha alete Sijdatu Sahwu.

Na ikiwa mtu amesahu kuleta Takbri ya kuhirimia Swala katikati ya swala itambidi aileta takbri ya Ihramu,na asihisabu ile rakaa aliyoiswali, kwa sababu Swala yake haikufungika,na ikiwa atakumbuka baada ya Swala itambidi aswali tena kwa sababu Swala yake ni batil,Haikufungika.

 

TAFAUTI KATI YA NGUZO NA MASHRTI

Sharti ni ile ambao yatakikana ipatikane kabla hujaingia katika kitendo cha Ibaada, mfano wa swala katika miongoni mwa sharti zake ni kuingia wakati wa Swala, kwa hivyo huwezi kuswali kwanza ni lazima uingie wakati wa Swala kisha ndio uswali.

Ama Nguzo ni ile ambao imefungamana na kitendo cha Ibaada mfano wa Rukuu na Sijda katika Swala na mfano wa hayo.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887148
TodayToday281
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 48

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba2dca26ec20505366571782293212
title_6a3ba2dca273b10961767361782293212
title_6a3ba2dca278815533457581782293212

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba2dca2d375117133551782293212
title_6a3ba2dca2d8612361893681782293212
title_6a3ba2dca2dd212181010591782293212 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com