Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Makosa na matanabahisho katika kuzuru

1. Kusafiri na kujisumbua kwa safari kwa lengo la kuzuru kaburi na sehemu za turathi zilizoko Madina. Lililowekwa na Sheria ni kufunga safari kuuzuru Msikiti wa Mtume , na ziyara ya kaburi yake inaingia ndani.

2. Kuelekea upande wa kaburi Wakati wa kuomba Dua

3. Kumuomba Mtume na kutaka haja kwake, badala ya Mwenyezi Mungu Aliyeshinda na Aliyetukuka, ni miongoni mwa ushirikina mkubwa kabisa.

4. Kujipukusa na kuta za Chumba alichozikwa Mtume ndani yake kwa lengo la kupata baraka ni miongoni mwa mambo ya uzushi yaliyoharamishwa na ni miongoni mwa njia zinazopelekea kwenye ushirikina.

5. Kuinua sauti kwenye kaburi ya Mtume na kisimamo kirefu, na kukariri salamu kwa mbali kila anapoingia na kuweka mkono wa kulia juu ya wa kushoto juu ya kifua wakati wa kutowa salamu kama vile anavyo fanya akiwa kwenye Swala.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6573436
TodayToday1503
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 45

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68288e790512a3612422601747488377
title_68288e79052108846642661747488377
title_68288e79052ed7914277511747488377

NISHATI ZA OFISI

title_68288e791270a18930440401747488377
title_68288e791283e21241198101747488377
title_68288e791296a15261746601747488377 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com