Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Makosa na matanabahisho katika kuzuru

1. Kusafiri na kujisumbua kwa safari kwa lengo la kuzuru kaburi na sehemu za turathi zilizoko Madina. Lililowekwa na Sheria ni kufunga safari kuuzuru Msikiti wa Mtume , na ziyara ya kaburi yake inaingia ndani.

2. Kuelekea upande wa kaburi Wakati wa kuomba Dua

3. Kumuomba Mtume na kutaka haja kwake, badala ya Mwenyezi Mungu Aliyeshinda na Aliyetukuka, ni miongoni mwa ushirikina mkubwa kabisa.

4. Kujipukusa na kuta za Chumba alichozikwa Mtume ndani yake kwa lengo la kupata baraka ni miongoni mwa mambo ya uzushi yaliyoharamishwa na ni miongoni mwa njia zinazopelekea kwenye ushirikina.

5. Kuinua sauti kwenye kaburi ya Mtume na kisimamo kirefu, na kukariri salamu kwa mbali kila anapoingia na kuweka mkono wa kulia juu ya wa kushoto juu ya kifua wakati wa kutowa salamu kama vile anavyo fanya akiwa kwenye Swala.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668075
TodayToday763
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 24

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866a3778ee468674162601751556983
title_6866a3778ef3121184169101751556983
title_6866a3778f0059522845301751556983

NISHATI ZA OFISI

title_6866a377903ed21126601691751556983
title_6866a377904c210678463481751556983
title_6866a377905971233859871751556983 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com